JINSI YA KUZUIA MTU KUJUA KAMA UMESOMA UJUMBE WHATSAPP
Habari msomaji wangu shukrani kwa kutembelea kwa mara nyingine wacha tuendelee kujuzana haya machache ambayo mola wetu mlezi ametujaalia kuyajua leo tuendelee na whatsapp
Wenda hupendi wakati mwingine ukasoma ujumbe uliotumiwa whatsapp na aliyekutumia akafahamu kama uliangaika mno na hukupata jibu basi leo nitakuonyesha njia moja ya kuzuia tatizo hilo
Fuata hatua hizi tatizo litakoma maana na hili laweza kuwa kero hadi tukalipa jina kuwa na hili ni tatizo >>>MENU>>>ACCOUNT>>.PRIVACY
Ingia katika application ya wahatsapp yako kisha nenda sehemu ya mipangilio (setting)
Kisha chagua account
Kisha chagua Privacy
Pamoja na yote uliyoyafanya ukiwa katika ukurasa huu utaona neno Read Receipts Ondoa alama ya pata (tick) katika kiboksi kilichopo mbele
NB
Hii kazi uliyoifanya hapo juu itakuwa umekamilisha lakini na shughuli yote uliyoifanikisha hapo juu haitatumika kwenye magroup kwenye group watu wako watafahamu kama umeupata ujumbe muda gani
usisahau kutoa maoni yako
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni